Msomaji Qur'ani
IQNA - Mahmoud Shahat Anwar, qari maarufu wa Misri ambaye ni mtoto wa marehemu msomaji wa Qur'ani Sheikh Shahat Muhammad Anwar, alimuelezea baba yake kama mfano wake wa kwanza wa kuigwa na chanzo cha mwongozo.
Habari ID: 3478192 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13
TEHRAN (IQNA) – Amir Hossein Anvari, qari kijana wa Kiirani, akisoma aya katika Surah Al-Anaam ya Qur’ani Tukufu mwezi uliopita.
Habari ID: 3477726 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/14
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Ahmed Kuzu kutoka Uturuki aliibuka mshindi katika Mashindano ya 20 ya Kimataifa ya Kusoma Qur'ani ya Moscow, nchini Russia
Habari ID: 3476136 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/23